Kuanzia Ijumaa Ijayo naanza rasmi kuitumia Blog yangu kwa kufanya biashara na kuwasaidia wengine wanao taka kufungua biashara na hawajui pa kuanzia.
Napenda kumshukuru sana MUNGU kwani ameniwezesha kufanikiwa kuweza kuanza rasmi biashara yangu binafsi lakini nimekutana na vikwazo vingi sana mpaka kufikia hatua hii leo.
Napenda kumshukuru sana MUNGU kwani ameniwezesha kufanikiwa kuweza kuanza rasmi biashara yangu binafsi lakini nimekutana na vikwazo vingi sana mpaka kufikia hatua hii leo.
No comments:
Post a Comment